Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

00:00
00:00

Episodios

309-

Umeme unaweza kuwa injini ya ukuaji wa uchumi Afrika Mashariki?

26 ago. 2026
308-

Goma: Wanawake wapambana na umaskini licha ya changamoto za usalama.

19 ago. 2026
307-

Je, Nchi Inaweza Kuendelea Bila Dira ya Maendeleo?

12 ago. 2026
306-

Sehemu ya Pili: Hatifungani ni nini na kwanini inakuhusu

05 ago. 2026
305-

Hatifungani za serikali na hazina: Kwa nini zinahusu kila mwananchi?

29 jul. 2026